Connect with us

CAF Champions League

CLIFORD NDIMBO, BARAKA KIZUGUTO WAULA CAF.

Ofisa Habari na Mawasiliano TFF, Cliford Mario Ndimbo ameteuliwa na CAF kuwa Ofisa Habari wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Young Africans (Tanzania) vs Al Ahly (Misri) utakaochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi Desemba 2,2023.

Wakati huo huo Meneja Mashindano TFF, Baraka Kizuguto ameteuliwa na CAF kuwa Mratibu (General Coordinator) wa mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Jwaneng Galaxy (Botswana) vs Asec Mimosas (Ivory Coast) utakaochezwa Desemba 9,2023.

Makala Nyingine

More in CAF Champions League