All posts tagged "Featured"
-
Makala Nyingine
/ 1 year agoKOCHA JWANENG: SIMBA NI AIBU KUFUNGWA TANO NA MTANI.
Klabu ya Simba inatarajiwa kushuka dimbani kesho majira ya saa moja [19:00] usiku kwa saa za Afrika Mashariki kukipiga dhidi ya...
-
Top Story
/ 1 year agoTANZANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA BEACH SOCCER AFRIKA KUSINI.
Timu ya Taifa ya Tanzania ya soka la ufukweni inatarajiwa kuwa sehemu ya timu zitakazoshiriki mashindano ya COSAFA Beach Soccer Championship...
-
Serie A
/ 1 year agoPOGBA AFUNGIWA MIAKA 4 AAHIDI KUKATA RUFAA.
Nyota wa klabu ya Juventus Paul Pogba amefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka minne baada ya uchunguzi kubainika kuwa alikuwa anatumia...
-
CAF Champions League
/ 1 year agoHERSI AITAJA AL AHLY NA MAMELODI KUCHEZA FAINALI CAF CL.
Rais wa klabu ya Yanga Eng. Hersi Said ameeleza kuwa mchezo wa fainali wa Ligi ya mabingwa Barani Afrika msimu huu...
-
Makala Nyingine
/ 1 year agoDIENG: YANGA INAWEZA KUCHEZA FAINALI CAF CL.
Kiungo wa Al-Ahly ameitabiria makubwa klabu ya Yanga kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika msimu huu. “(Al-Ahly) Tulikuwa tunaangalia...
-
Makala Nyingine
/ 1 year agoMWEKEZAJI ADAI KUINUNUA KLABU MIAKA MITANO NYUMA.
Mdhamini wa klabu ya Simba na mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania Mohamed Dewji ameeleza kuwa moja ya jambo ambalo anapaswa kujivunia na...
-
Azam Sports Federation
/ 1 year agoSIMBA YAIKAMUA TRA KILIMANJARO
Simba wamefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup baada ya kuitandika timu ya daraja la...
-
NBC Premier League
/ 1 year agoAZAM WAMUENZI DKT. MWANKEMWA KWA USHINDI, GEITA GOLD NA KAGERA SULUHU
Azam FC wamefanikiwa kupata ushindi wa bao 1-0 mbele ya wenyeji wao Singida FG kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara...
-
NBC Premier League
/ 1 year agoIHEFU YAVUTWA SHATI LITI, PRISONS IKITAKATA MBEYA
Ihefu wameshindwa kutamba kwenye Uwanja wao mpya waliohamia wa CCM Liti uliopo mkoani Singida baada ya kulazimishwa Sare na bao 1-1...
-
CAF Champions League
/ 1 year agoAHMED ALLY: TUNA UHAKIKA TUNAENDA KUFUZU.
Afisa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally ameendelea na hamasa kwa mashabiki wa klabu hiyo kuelekea mchezo wao...