Connect with us

Taifa Stars

KAMPUNI YA SANDALAND NA TFF MAMBO SAFI

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kampuni ya Sandaland Fashion Wear LTD wameingia mkataba wa miaka 5 wa Jezi kuzivalisha Timu za Taifa wenye thamani ya shilingi Bilioni 3

Ikumbukwe huu ni mkataba wa pili kwa kampuni ya Sandaland kusaini kwa ajili ya kuzivalisha timu za mpira ukiachilia mbali ule mkataba wa miaka miwili iliyoingia na klabu ya Simba SC

Makala Nyingine

More in Taifa Stars