Taifa Stars
TANZANIA KUWANIA TUZO YA TIMU BORA AFRIKA.
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imewekwa kwenye kipengele cha tuzo ya timu bora ya mwaka Barani Afrika, tuzo zinazotolewa na shirikisho la soka Afrika CAF.
Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars imewekwa kwenye kipengele cha tuzo ya timu bora ya mwaka Barani Afrika, tuzo zinazotolewa na shirikisho la soka Afrika CAF.