Connect with us

EPL

MANCHESTER CITY YATAJWA BINGWA EPL 2023/24.

Utabiri wa mwisho wa msimu wa Ligi kuu kandanda England kwa mujibu wa Super Computer umeeleza kuwa Manchester City watakuwa mabingwa wa Ligi kwa msimu wa 2023/24.

Kwa mujibu wa super Computer hiyo imeeleza Arsenal pia itaonyesha upinzani mkubwa lakini itamaliza nafasi ya pili ya msimamo na licha ya Everton kupokwa alama 10 lakini haitashuka daraja.

Msimamo wa Ligi utakavyokuwa baada ya Ligi kuisha.

  1. Manchester City
  2. Arsenal
  3. Liverpool
  4. Newcastle United
  5. Aston Villa
  6. Tottenham Hotspurs
  7. Chelsea
  8. Manchester United
  9. Brighton
  10. Brentford
  11. Westham United
  12. Wolveshampton
  13. Crystal Palace
  14. Nottingham Forest
  15. Fulham
  16. Bournemouth
  17. Everton
  18. Burnley
  19. Luton
  20. Sheffield United.

Makala Nyingine

More in EPL