AFCON

MAKOCHA WATATU PEKEE WALIOBEBA AFCON KATI YA 24.

Published on

Kuelekea fainali za mataifa ya Afrika 2023 nchini Ivory Coast ni makocha watatu pekee kati ya 24 wanaoshiriki AFCON 2023 ambao wamewahi kutwaa kombe la michuano hiyo huko nyuma.

  • Hugo Broos – 2017 [Cameroon] Kwasasa anakinoa kikosi cha Afrika Kusini.
  • Djamel Belmandi – 2019 [Algeria] bado yupo Algeria.
  • Aliou Cisse – 2022 [Senegal] Bado yupo Senegal.

Kati ya hao ni makocha wawili pekee ambao waliwahi kucheza kwenye hizo timu na kutwaa taji hilo [Djamel Belmand na Aliou Cisse].

Popular Posts

Exit mobile version