NBC Premier League

NDOA YA KITAMBI NA NAMUNGO YAVUNJIKA RASMI.

Published on

Wauwaji wa Kusini Klabu ya Namungo Fc yenye makazi yake Ruangwa mkaoni Lindi, leo Desemba 13,2023 imethibitisha rasmi kuachana na aliyekuwa Kocha wake Mkuu bwana Denis Kitambi huku Uongozi wa Klabu hiyo ikishindwa kutoa sababu za kwanini wameamua kuachana na Kitambi

Huku taarifa za ndani kutoka klabu hiyo zikieleza kuwa Kitambi anahusishwa kwenda kuwatumikia wajukuu wa mbogo maji Ihefu Sc iliyoachana na kocha wake Moses Basena.

Popular Posts

Exit mobile version